Huu ndio Msimamo wa Kundi A, Romania ikiaga Euro 2016

Posted in
No comments
Monday, June 20, 2016 By danielmjema.blogspot.com

RAMAA


Romania walicheza mchezo wao wa kumamilisha ratiba dhidi ya vibonde wenzaoAlbania, ambapo katika mchezo huo Albania alifanikiwa kuibuka na ushindi wa kwanza na pekee katika mechi zake tatu za Euro 2016 na kuondoka na point tatu, baada ya kuifunga Romania goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na Armando Sadiku dakika ya 43.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .