Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
Posted in
Kifo
No comments
Sunday, December 4, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Jivu la aliyekuwa rais wa Cuba Fidel
Castro limezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo
kumaliza siku tisa za maombolezo ya kitaifa nchini Cuba.
Hapo jana, rais wa Cuba, Raul Castro, amesema serikali yake itakataza barabara au eneo lolote kupewa jina la Fidel, na ndivyo Fidel mwenyewe alivyoagiza.
Mbele ya mhadhara mkubwa mjini Santiago, alisema Fidel Castro hakutaka kufanywa kama kiongozi wa madhehebu.
Habari Zingine
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :