Posted in
By
danielmjema.blogspot.com
 |
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava akifungua
Warsha ya Mapitio ya Rasimu ya Mpango Kazi wa Kitaifa wa Usimamizi wa
Mazingira kulia Mkurugenzi Msaidizi Mazinira Bw. Stophan Nkondokaya leo
Kwenye Hotel ya Top Life Mjini Morogoro[Picha na Ali Meja] |
 |
Baadhi ya Washiriki wa Warsha ya Wadau wa Kufanya Mapitio ya Rasimu ya
Mpangokazi wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazingira Wakimsikiliza Mgeni
Rasmi pichani hayupo Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi
Mwihava alipokuwa akifungua warsha kwenye Hotel ya Top Life Mjini
Morogoro[Picha na Ali Meja] |
 |
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava akizungumza
na Mkurugenzi Msaidizi Mazingira Stophon Mkondokaya[katikati] na Ofisa
Mkuu Idara ya Mazingira Bi Esthar Makwaia mara baada ya Ufunguzi wa
Warsha ya Mpangokazi wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazingira iliyofanyika
kwenye Hotel ya Top LifeMijini Morogoro.[Picha na Ali Meja |
 |
Washiriki wa Warsha ya Wadau wa Kufanya Mapitio ya Rasimu ya Mpango Kazi
wa Kitaifa wa Usimamizi wa Mazingira wakiwa Katika Picha ya Pamoja na
Mgeni Rasmi Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava
Huko Morogoro[Picha na Ali Meja] |
0 MAOINI :