KITUO CHA MSAADA WA SHERIA KUIVAA TAASISI YA RAIA WA INDIA KWA KUKIUKA HAKI ZA BINADAMU
Posted in
No comments
Wednesday, May 30, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Gaso amejitokeza kumsaidia mwanamke huyo kama njia ya kupinga vitendo vya unyanyasaji na ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na taasisi hiyo ya Brac ambayo ipo chini ya raia wa India.
Hivyo amesema kuwa kituo chake kinajipanga kumfikisha mahakamani mkurugenzi wa taasisi hiyo kwa ukiukaji wa haki za binadamu kama njia ya kusaidia jamii inayonyanyaswa na taasisi hiyo.
Habari na Francis Godwin Iringa.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :