JK ALIVYOFUNGUA JENGO LA MAHAKAMA KUU KANDA YA BUKOBAJANA

Posted in
No comments
Friday, July 26, 2013 By danielmjema.blogspot.com


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba jana Julai 25, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013. Aliyeshika utepe ni Jaji Mkuu, Othman Chande
 Rais Kikwete akiwa katika moja ya vyumba vya mahakama hiyo
 Rais Kikwete akifuatana na Jaji Mkuu wakati akikagua jengo la mahakama hiyo
 Jaji Mkuu Othman Chande akimpa maelezo Rais Kikwete wakati wakiwa kwenye jengo la mahakama hiyo.
 Rais Jakaya Kikwete na Jaji Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa mahakama waliohudhuria uzinduzi wa jengo hilo la mahakama
Baadhi ya watu waliofika kwenye sherehe za uzinduzi wa jengo hilo. Picha na Ikulu

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .