PIGO KWA WAANDISHI WA HABARI

Posted in
No comments
Monday, June 18, 2012 By danielmjema.blogspot.com


Marehem Willy Edward Ogunde
Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo leo na Jarida la Jambo Brand
Amefariki dunia mjini Morogoro usiku wakuamkia jumapili , alipo kwenda kuhudhuria Mkutano wa sensa ulioandaliwa na ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwili wa marehem umesafirishwa kuja Dar na kuhifandhiwa katika hopitali ya taifa Muhimbili, wakisubiri taratibu nyingine zikifwata.

Mwili wa marehem Willy Edward Oginde ukifikiswa katika hospitali ya taifa Muhimbili

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .