Rais Kikwete afuturu na Viongozi wa Dini Mbeya
Posted in
No comments
Monday, July 23, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi wa dini mbalimbali aliowaalika katika futari
katika ikulu ya mjini Mbeya jana jioni.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki
katika swala ya magharibi muda mfupi kabla ya futari ambayo aliwaalika viongozi
mbalimbali wa dini mjini Mbeya jana(Picha na Freddy Maro)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki
katika swala ya magharibi muda mfupi kabla ya futari ambayo aliwaalika viongozi
mbalimbali wa dini mjini Mbeya jana(Picha na Freddy Maro)
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :