MSAMA PROMOTION YASAIDIA MATIBABU YA MCHEZAJI WA ZAMANI WA TAIFA STARS

Posted in
No comments
Tuesday, August 21, 2012 By danielmjema.blogspot.com


Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama (kushoto) akimkabidhi msaada wa fedha taslimu sh. milioni moja mchezaji wa zamani wa Simba, Mtibwa na Taifa Stars, Alphonce Modest kwa ajili ya kumsaidia katika matibabu ya ugonjwa wa mifupa unaosababisha miguu kufa ganzi ‘yabisi baridi’. Modest nasumbuliwa na ugonjwa huo tangu mwaka 2011. Kwa yeyote anayeguswa na tatizo lake awasiliane na mtangazaji wa Chanel 10, Said Kilumanga (wa pili kulia) kwa kupitia namba 0718 427426. Wa Pili kushoto ni Mhariri Kiongozi wa Champion, Saleh Ally.

Beki wa zamani wa Simba na timu ya Taifa, Alfonce Modest akimshukuru Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions baada ya kumsaidia kiasi cha sh milioni moja kwa ajili ya kuanza matibabu ya miguu
 kwa msaada wa: mrokim.blogspot.com

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .