REDD'S MISS ILALA KESHO

Posted in
No comments
Thursday, September 6, 2012 By danielmjema.blogspot.com

Meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria Kimaro kulia akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali ya redds Miss kanda ya Ilala inayotarajia kufanyika kesho ijumaa katika ukumbi wa nyumbani uliopo namnga jijini Dar Es Salaam .katikati ni Mratibu wa shindano hilo Juma Madabila na Msanii Steven Nyerere. Picha kwa hisani ya Intellectuals Communications Limited
Shughuli itafanyika uwanja wa nje, kwenye Parking za TRANIC PLAZA/ NYUMBANI LOUNGE

VIP Ticket ni Tsh.50,000/= kila meza inakaa watu 8
Siti za kawaida ni Tsh.20,000/= zitauzwa mlangoni Ommy Dimpoz atakuwepo mzee wa "Baadaye"Banana Zorro na B-BANDChege Chigunda 
Na baada ya hapo patakuwa na after Party itakayofanyika Nyumbani Lounge ndani
LADY JAY - DEE na MACHOZI BAND
Kwa kufungia usiku huo.
Karibuni

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .