Posted in
By
danielmjema.blogspot.com
|
IMEWEKWA JUNI 15, 2013 SAA11:40 JIONI
Mchua
misuli wa timu ya soka ya taifa ya Ivory Coast, kulia akimnyoosha
viungo kiungo wa timu hiyo, Yaya Toure wakati wa mazoezi yao jioni ya
leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kesho wa Kundi
C dhidi ya wenyeji Tanzania kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe
la Dunia mwakani nchini Brazil utakaopigwa kuanzia saa 9:00 Alasiri
kwenye Uwanja huo huo. Mwingine ni Gervinho.
|
|
Haruna Kone |
|
Mbwana
Samatta wa Tanzania, akiugulia maumivu baada ya kupigwa na mpira chini
ya kitovu jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Ivory Coast walianza mazoezi saa
10:00 jioni wakaipisha Taifa Stars baada ya saa moja. |
|
Mrisho Ngassa |
|
Juma Kaseja |
|
Kevin Yondan kulia na Amri Kiemba kushoto |
|
Kutoka kulia Khamis Mcha 'Vialli', Simon Msuva, Frank Domayo, Mwinyi Kazimoto na Vincent Barnabas |
|
Kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Salum Abubakar na Erasto Nyoni |
|
Kutoka kulia Abdul Razak, Haruna Kone na Gervinho |
|
Solomon Kalou kushoto na mpira |
|
Ivory Coast wakijifua |
|
Simon Msuva kushoto akikabiliana na Aggrey Morris |
|
Gervinho akimtoka Abdul Razak |
|
Kevin Yondan akitafuta mbinu za kumtoka Mudathir Yahya kulia |
|
Mbwana Samatta akiwatoka Aggrey Morris na Mudathir Yahya |
|
Mbwana Samatta amempa mwili Nadir Haroub 'Cannavaro' ili Simon Msuva afunge |
|
Vincent Barnabas akimtoka Mrisho Ngassa |
|
Ngassa akikabiliana na Haruna Athumani aliyelala...kulia Barnabas |
|
Mbwana Samatta na Kevin Yondan walitanua vifua juu ya goli kwa mazoezi ya viungo |
|
Mwinyi Kazimoto akionyesha ufundi mazoezini Stars | a |
0 MAOINI :