KIJANA AJILIPUA KISA WIOVU WA MAPENZI
Posted in
No comments
Tuesday, July 9, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
DODOMA, Tanzania
DODOMA, Tanzania
MWANAFUNZI wa Chuo cha Ufundi (VETA), mkoani Dodoma, Taliki Juma (22), amejiua kwa kujilipua kwa petroli kisa mapenzi.
Taarifa zinasema, kufuatia moto mkali uliotokana na petroli hiyo, mbali
na mwanafunzi huyo aliyejitoa mhanaga kwa mapenzi, watu wengine wanane
waliokuwa karibu wamejeruhiwa vibaya.
Akithibitisha, leo Kamanda wa Polisi wa mkoa, David Misime, amesema
tukio hilo lilitokea jana mida ya saa 12.30 jioni katika Kitongoji cha
Machaka, Kata ya Nzughuni.
Kamanda alifafanua kwamba mapema mwanafunzi huyo alinunua lita tano za
mafuta ya petroli katika kituo cha mafuta cha Nanenane na kisha
kujilipua na kisha kwenda kujilipua akiwa katika saluni ya Irene Mapunda
ambaye inasadikiwa alikuwa mpenzi wake.
Alisema, mwanzoni watu waliokuwa karibu naye walijaribu kumsihi
asijilipue lakini hawakufanikiwa, kwani aliwasha kibiriti ndani ya
saluni hiyo na kusababisha moto mkubwa kulipuka ambao uliwaunguza
wengine waliokuwa karibu naye pamoja na mali zote zilizokuwa ndani ya
Saluni hiyo kuteketea.
“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni wivu wa
kimapenzi, hata hivyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linaendelea na
uchunguzi wa kina juu ya tukio hili,” ilieleza taarifa ya Kamanda wa
Polisi.
Taarifa iliwataja waliojerihiwa kuwa ni Mugina Hessein (32), Benson
Mushi (11) Japhet Japhet (18), Meshack John (18), Swaibu Kassim
(20),Ester Silau (30), Shaban Pili (20) na Fedrick Gabriel (21) ambao
wote wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na tathimini ya hasara
iliyosababishwa na moto huo bado haijafahamika.
Taarifa zinasema, kufuatia moto mkali uliotokana na petroli hiyo, mbali
na mwanafunzi huyo aliyejitoa mhanaga kwa mapenzi, watu wengine wanane
waliokuwa karibu wamejeruhiwa vibaya.
Akithibitisha, leo Kamanda wa Polisi wa mkoa, David Misime, amesema
tukio hilo lilitokea jana mida ya saa 12.30 jioni katika Kitongoji cha
Machaka, Kata ya Nzughuni.
Kamanda alifafanua kwamba mapema mwanafunzi huyo alinunua lita tano za
mafuta ya petroli katika kituo cha mafuta cha Nanenane na kisha
kujilipua na kisha kwenda kujilipua akiwa katika saluni ya Irene Mapunda
ambaye inasadikiwa alikuwa mpenzi wake.
Alisema, mwanzoni watu waliokuwa karibu naye walijaribu kumsihi
asijilipue lakini hawakufanikiwa, kwani aliwasha kibiriti ndani ya
saluni hiyo na kusababisha moto mkubwa kulipuka ambao uliwaunguza
wengine waliokuwa karibu naye pamoja na mali zote zilizokuwa ndani ya
Saluni hiyo kuteketea.
“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni wivu wa
kimapenzi, hata hivyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linaendelea na
uchunguzi wa kina juu ya tukio hili,” ilieleza taarifa ya Kamanda wa
Polisi.
Taarifa iliwataja waliojerihiwa kuwa ni Mugina Hessein (32), Benson
Mushi (11) Japhet Japhet (18), Meshack John (18), Swaibu Kassim
(20),Ester Silau (30), Shaban Pili (20) na Fedrick Gabriel (21) ambao
wote wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na tathimini ya hasara
iliyosababishwa na moto huo bado haijafahamika.
MWANAFUNZI wa Chuo cha Ufundi (VETA), mkoani Dodoma, Taliki Juma (22), amejiua kwa kujilipua kwa petroli kisa mapenzi.
Taarifa zinasema, kufuatia moto mkali uliotokana na petroli hiyo, mbali
na mwanafunzi huyo aliyejitoa mhanaga kwa mapenzi, watu wengine wanane
waliokuwa karibu wamejeruhiwa vibaya.
Akithibitisha, leo Kamanda wa Polisi wa mkoa, David Misime, amesema
tukio hilo lilitokea jana mida ya saa 12.30 jioni katika Kitongoji cha
Machaka, Kata ya Nzughuni.
Kamanda alifafanua kwamba mapema mwanafunzi huyo alinunua lita tano za
mafuta ya petroli katika kituo cha mafuta cha Nanenane na kisha
kujilipua na kisha kwenda kujilipua akiwa katika saluni ya Irene Mapunda
ambaye inasadikiwa alikuwa mpenzi wake.
Alisema, mwanzoni watu waliokuwa karibu naye walijaribu kumsihi
asijilipue lakini hawakufanikiwa, kwani aliwasha kibiriti ndani ya
saluni hiyo na kusababisha moto mkubwa kulipuka ambao uliwaunguza
wengine waliokuwa karibu naye pamoja na mali zote zilizokuwa ndani ya
Saluni hiyo kuteketea.
“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni wivu wa
kimapenzi, hata hivyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linaendelea na
uchunguzi wa kina juu ya tukio hili,” ilieleza taarifa ya Kamanda wa
Polisi.
Taarifa iliwataja waliojerihiwa kuwa ni Mugina Hessein (32), Benson
Mushi (11) Japhet Japhet (18), Meshack John (18), Swaibu Kassim
(20),Ester Silau (30), Shaban Pili (20) na Fedrick Gabriel (21) ambao
wote wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na tathimini ya hasara
iliyosababishwa na moto huo bado haijafahamika.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :