MKUU WA WILAYA WA MSTAAFU JOHN SHILATU AFARIKI DUNIA
Posted in
No comments
Wednesday, July 24, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
Familia ya Mzee Shilatu wa Mbagala wanasikitika kutangaza kifo cha Baba yao Mpendwa JOHN SHILATU kilichotokea katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili tarehe 23/07/2013 saa 10 jioni kutokana na shinikizo la damu.
Habari ziwafikie Ndugu, Jamaa, Marafiki, Viongozi, Wanasiasa wote wanaomfahamu vyema Marehemu popote pale walipo.
Mipango ya mazishi inafanyika Nyumbani kwa Marehemu Mbagala. Kwa mawasiliano zaidi juu ya msiba piga simu namba 0717 488622
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.
Amen!!
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :