MSANII CHIWONISO MARAIRE AFARIKI DUNIA
Posted in
No comments
Thursday, July 25, 2013
By
danielmjema.blogspot.com
Anasemekana alifariki kutokana na homa ya mapafu, mwaka mmoja tu baada ya aliyekuwa mumewe, Andy Brown, ambaye pia alisifika kwa muziki wake nchini Zimbabawe kufariki. Walikuwa na watoto wawili.
Chiwoniso aliyekuwa mwanawe mwanamuziki mashuhuri nchini humo ambaye pia alisifika kwa kucheza ,Mbira Dumisani Maraire, alisomea katika chuo kikuu cha Zimbabwe.Alizaliwa nchini Marekani mwaka 1976, kabla ya kuhamia nchini Zimbabwe akiwa na umri wa miaka saba.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :