MWIDAU ATAKA KASI YA MAENDELEO JIJINI TANGA
                      Posted in 
                      
                            No comments
                          
Thursday, October 31, 2013
                      By 
                      danielmjema.blogspot.com
| Mbunge Amina Mwidau akisaini kitabu cha wageni alipotembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Tanga, kulia ni Mratibu wa chama hicho Neema Hatibu. | 
| Mbunge Mwidau, akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa Habari Mkoa wa Tanga, Hassan Hashimu. | 
| Mbunge Mwidau akiwa na Ofisa Utamaduni na Michezo wa Wilaya ya Pangani, Kemmy Anatory mara baada ya kuzindua mashindano ya Mwidau CUP. | 
| Mbunge Amina Mwidau, akikabidhi vifaa vya michezo kwa kiongozi wa Timu ya soka ya wanawake ya Spin Sister, Habiba Hamisi. Timu hiyo ipo Marizala Pongwe jijini Tanga. | 
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
 
 
 
 

 
 
0 MAOINI :