KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA KUTUMIA DARUBINI

Posted in
No comments
Wednesday, February 19, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Teknolojia mpya ya upasuaji kwa njia ya Darubini katika Hospitali ya KCMC, Teknolojia hiyo inadaiwa kuokoa muda na gharama za upasuaji pamoja na kupunguza vifo.
Madaktari KCMC wakimfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia Teknolojia mpya Darubini.
Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.
Zoezi linaendelea ukimya tafadhali!!! kwa mbali ni mtaalamu wa upasuaji wa Darubini (mzungu) kutoka Uingereza, Dkt. Liam Horgan.
Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.
Madaktari wa Upasuaji kutoka kulia, Fadhili Athumani, Zephania Renatus na Bahati Mustapha katika chumba cha Upasuaji KCMC.
Timu ya waandishi wa habari "madaktari feki", kutoka kushoto, Fadhili Athumani (Mtanzania), Safina Sarwatt (Mtanzania), Flora Temba (Majira), Gabriel Chissou ambaye ni Msemaji wa KCMC, Sauda Shimbo (TBC) na Bahati Mustapha (Moshi Fm) baada ya kumaliza kazi katika Theatre.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .