RAIS KIKWETE ALIVYOZINDUA KAMPENI YA KUPIGA VITA UUAJI WA TEMBO NA FARU KUPITIA MABANGO JUZI
Posted in
Utalii
No comments
Thursday, February 13, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibofya kwenye kompyuta kuzindua rasmi mabango hayo ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Mahamoud Mgimwa. |
Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa uzinduzi wa mabango ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru baada ya kuyazindua rasmi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam juzi. |
Moja ya mabango hayo likiwa nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
|
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Mahamoud Mgimwa (wa pili kushoto), akiwa na Ofisa Mteendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited (JCTL), Juma Pinto (wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi wa JCTL, Juma Mabakila walipokuwa wakimsubiri Rais Jakaya Kikwete kuzinduz mabango hayo. |
Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na
Utalii, alipowasili katika hafla ya uzinduzi wa mabango hayo
yatakayosambazwa sehemu mbalimbali nchini. Sehemu ya umati ulioshiriki katika hafla hiyo ya uzinduzi wa mabango
|
JK akiwa katika hafla hiyo. |
Mmiliki wa Blog ya Wananchi, William Malecela akijadiliana jambo na Juma Pinto |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :