ASKARI WA CHUO CHA MAFUNZO MOSHI (MPA) WAKIJITAHIDI KUZIMA MOTO MKUBWA ULIOZUKA JANA NA KUTEKETEZA GHALA LA VIFAA
No comments
Thursday, February 13, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi wakijaribu kuudhibiti moto
uliokuwa ukiwaka katika jengo hilo. |
Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi wakijaribu kuudhiti motouliokuwa ukiwaka katika jengo hilo |
Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi wakijaribu kuudhiti motouliokuwa ukiwaka katika jengo hilo |
Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi wakijaribu kuudhiti motouliokuwa ukiwaka katika jengo hilo |
Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi wakijaribu kuudhiti motouliokuwa ukiwaka katika jengo hilo. |
Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz akiwa na mkuu wa
Chuo cha taaluma ya Polisi kamishana msaidizi wa polisi Matanga Mbushi
wakishuhudia zoezi la uzimaji moto katika jengo hilo. |
Hapa zoezi la kuokoa baadhi ya vifaa vya jeshi, ikiwemo nguo za wanafunzi na maaskari pamoja na wakufunzi, likiendelea |
Baadhi ya vifaa vilivyookolewa katika moto huo |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :