MAJAMBAZI YAUA KIBORILONI-MOSHI-MKOANI KILIMANJARO
Posted in
Kifo
No comments
Tuesday, March 11, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Majambazi wavamia duka la jumla na kumuua mfanyabiashara maarufu
mkoani Kilimanjaro ameuawa kwa kumpiga risasi mbili Kichwani na tumboni kabla ya kutoweka kusikojulikana.
Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa 2:15 usiku katika maeneo ya Mnazi kata
ya Kiboriloni, wilaya ya moshi, mkoani hapa ambapo watu wanaodhaniwa kuwa ni
majambazi wakiwa na silaha inayosadikiwa kuwa ni SMG/SAR walimvamia na kumpiga
risasi mfanyabiashara, Respiki Eustarck Shirima.
kwa mujibu wa taarifa zilizothibitisha na Kamanda wa polisi mkoani hapo, Robert Boaz, tukio hilo lilitokea juzi machi 10 mwaka huu na kuongeza kwamba majambazi hao walimpiga risasi mbili kabkla ya kutoweka kusikojulikana.
Boaz amesema mpaka sasa haijafahamika kama kuna mali zilizo chukuliwa na majambazi hao na kwamba uchunguzi unaendela ili kubaini chanzo cha mauaji hayo na kuongeza kuwa Jeshi lake limeanza msako mkali kuwasaka majambazi hao.
kwa mujibu wa taarifa zilizothibitisha na Kamanda wa polisi mkoani hapo, Robert Boaz, tukio hilo lilitokea juzi machi 10 mwaka huu na kuongeza kwamba majambazi hao walimpiga risasi mbili kabkla ya kutoweka kusikojulikana.
Boaz amesema mpaka sasa haijafahamika kama kuna mali zilizo chukuliwa na majambazi hao na kwamba uchunguzi unaendela ili kubaini chanzo cha mauaji hayo na kuongeza kuwa Jeshi lake limeanza msako mkali kuwasaka majambazi hao.
Habari Zingine
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :