FABIAN JOSEPH NA JACKLINE SAKILU KIDEDEA SOKOINE MINI MARATHON 2014
Posted in
Riadha
No comments
Sunday, April 13, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
![]() |
Mkuu wa Polisi wilaya ya Monduli, OCD Mourice Okinda akisalimiana na baadhi ya wanariadha muda mfupi kabla ya mbio za Sokoine Mini Marathon kilomita 10 kuanza. |
![]() |
Waziri mwenye Dhamana na michezo, Dkt. Fenela Mukangara akianzisha mbio za Kilomita 10 |
![]() |
Wanariadha wakichuana katika mbio za Sokoine Marathon 2014 kilomita 10 zilizofanyika jana kama sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha Sokoine |
![]() |
Njia ilikuwa imejaa tope kufuatia mvua kubwa zilizonyesha |
![]() |
Fabian Joseph akimaliza mbio za Kilomita 10. Joseph alishinda mbio hizo |
![]() |
Mshindi wa pili Alphonce Felix wa Holili akimaliza mbio |
![]() |
Dickson Marwa wa Holili akimaliza mbio za mwaka huu. mwaka jana al;ikuwa mshindi mwaka huu kaja wa tatu |
![]() |
Nathalia Elisante wa Arusha akimaliza mbio katika nafasi ya pili, akitumia muada wa ambaye alitumia muda wa dakika 40:51:2. |
Na Mwandishi wetu, Monduli
Mwanariadha Fabian Joseph kutoka Arusha alishinda mbio za kilomita 10
kwa upande wa Wanaume akitumia muda wa dakika 34:28.04 akimpita
mwanariadha chipukizi Alphonce Felix zikiwa zimesalia kilomita moja
mbio hizo zimalizike.
Nafasi ya Pili ilienda kwa, Alphonce Felix kutoka katika klabu ya Holili, ambaye alitumia muda wa dakika 34:45.39 huku bingwa mtetezi Dickson Marwa kutoka holili akiridhika na nafasi ya tatu akitumia muda
wa dakika 34:57.47.
Kwa upande wa mbio za wanawake, Bingwa wa mbio za Kilimanjaro marathon kilomita 21, Jackline Sakilu, kutoka klabu ya Winning Spirit ya Arusha, aliibuka mshindi akitumia muda wa dakika 40:01:26, huku anafasi ya pili ikienda kwa Nathalia Elisante wa Arusha ambaye alitumia muda wa dakika 40:51:27 na nafsi ya tatu ikashikiliwa na Failuna Abdi, wa winning spirit, aliyekimbia kwa dakika 41:13:54.
Nafasi ya Pili ilienda kwa, Alphonce Felix kutoka katika klabu ya Holili, ambaye alitumia muda wa dakika 34:45.39 huku bingwa mtetezi Dickson Marwa kutoka holili akiridhika na nafasi ya tatu akitumia muda
wa dakika 34:57.47.
Kwa upande wa mbio za wanawake, Bingwa wa mbio za Kilimanjaro marathon kilomita 21, Jackline Sakilu, kutoka klabu ya Winning Spirit ya Arusha, aliibuka mshindi akitumia muda wa dakika 40:01:26, huku anafasi ya pili ikienda kwa Nathalia Elisante wa Arusha ambaye alitumia muda wa dakika 40:51:27 na nafsi ya tatu ikashikiliwa na Failuna Abdi, wa winning spirit, aliyekimbia kwa dakika 41:13:54.
Habari Zingine
- IAAF yawaongezea adhabu Kiplagat na wenzake
- RAIS WA RAIDHA TANZANIA, ATEULIWA KUWA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA USHAURI WA MIKAKATI YA MAWASILIANO YA IAAF
- Hatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
- BARABARA KADHAA KUFUNGWA KUHAKIKISHA USALAMA WA WANARIADHA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON
- Mashujaa Band kuburudisha Kilimanjaro Marathon
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :