Click image for larger version. 

Name: 3fb6045cabfb482f399ddd01b2f3d459.jpg 
Views: 0 
Size: 72.5 KB 
ID: 151056 Helikopita Ikizimwa Moto
Click image for larger version. 

Name: 7a485f354cb07268f3d727d1d35073da.jpg 
Views: 0 
Size: 73.5 KB 
ID: 151057 Hali ikiwa shwali Click image for larger version. 

Name: 16c84ae9b714c405f2f16523a247c4f0.jpg 
Views: 0 
Size: 77.4 KB 
ID: 151058
Click image for larger version. 

Name: 3d4c4b635025850f151d4afc4c207bf7.jpg 
Views: 0 
Size: 32.6 KB 
ID: 151060
Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm. Jamani tumuombe mwenyezi Mungu awalinde hawa viongozi wetu wapendwa waliokuwa katika kuwatumikia watanzania. Natoa baadhi ya picha za helikopita hiyo ikizimwa moto.