MISATAN YAWAPIGA MSASA WANAHABARI KILIMANJARO KUHUSU MATUMIZI YA INTERNET.

Posted in
No comments
Friday, July 4, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Baadhi ya waandihi wa habari mkoa wa Kilimanjaro wanaoshirki mafunzo ya Internet kwa waandishi wa habari wa mikoani yanayotolewa na MISA Tanzania kwa kushirikiana na VIKES.
Mratibu wa Mafunzo ya Internet ,Andrew Marawiti akitoa ufafanuzi wa jambo wakati wa mafunzo hayo.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mafunzo kwa makini.
Wengine somo lilionekana kuwa gumu kiasi ikawalazimu kutizama ukurasa mweupe katika Computer zao.
Mmoja wa wakufunzi katika mafunzo hayo Seif Jigge akitoa maelezo kwa wanahabri wanaohudhuria mafunzo ya Internet  yanayofanyika katika Chuo cha Ufundi VETA mkoa wa Kilimanjaro
Baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo.
Darasa likiendelea.
Baada ya kujifunza kwa muda mrefu darasa lililazimika kusimama na kunyoosha mwili kidogo.
Ukafika Muda wa chakula kwa wenzetu ambao hawako katika mfungo.
Washiriki wakapata picha ya pamoja.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .