MAKOCHA BARCELONA WAPATA DINNER NA WADAU WA MICHEZO DAR ES SALAAM.

Posted in
No comments
Sunday, August 3, 2014 By danielmjema.blogspot.com

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Buttallah akimkabidhi zawadi Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Castle Lager kwa ajili ya makocha wa FC Barcelona na wadau wa soka nchini. Makocha hao wapo nchini kutoa mafunzo kwa makocha wa ligi kuu na ligi daraja la kwanza

Meneja wa Bia ya Castle Lager, Kabula Nshimo(kulia) akimkabidhi zawadi kocha Isaac Guerrero kutoka FC Barcelona wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Castle Lager kwa ajili ya makocha wa FC Barcelona na wadau wa soka nchini. Makocha hao wapo nchini kutoa mafunzo kwa makocha wa ligi kuu na ligi daraja la kwanza.
Makocha Isaac Guerrero (kushoto) na Dani Bigas (kulia) kutoka FC Barcelona wakimkabidhi zawadi ya jezi balozi wa Hispania nchini Luis Cuesta (katikati) wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Castle Lager kwa ajili ya makocha wa FC Barcelona na wadau wa soka nchini. Makocha hao wapo nchini kutoa mafunzo kwa makocha wa ligi kuu na ligi daraja la kwanza.
Makocha Isaac Guerrero (kushoto) na Dani Bigas (kulia) kutoka FC Barcelona wakimkabidhi zawadi ya jezi Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (katikati) wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Castle Lager kwa ajili ya makocha wa FC Barcelona na wadau wa soka nchini. Makocha hao wapo nchini kutoa mafunzo kwa makocha wa ligi kuu na ligi daraja la kwanza.
Makocha Isaac Guerrero (kushoto) na Dani Bigas (kulia) kutoka FC Barcelona wakimkabidhi zawadi ya jezi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Jamal Malinzi wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Castle Lager kwa ajili ya makocha wa FC Barcelona na wadau wa soka nchini. Makocha hao wapo nchini kutoa mafunzo kwa makocha wa ligi kuu na ligi daraja la kwanza.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .