MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA

Posted in
No comments
Thursday, August 7, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa katika picha ya pamoja na Mchungaji Jesse Jackson, Mwanaharakati wa siku nyingi wa Haki na Usawa.Kushoto ni Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Afrika Kusini (Democratic Alliance) Mbali Ntuli.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na rais wa Nigeria Goodluck Jonathan .
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na Waziri mkuu wa Mauritius, Ramgoolam.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na rais wa Uganda Yoweri Mseveni .
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiteta jambo na Seneta Christopher Coons ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Marekani anayesimamia maswala ya Afrika.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiteta jambo na Balozi Suzan Rice ,mshauli wa Rais Obama maswala ya Usalama..

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na rais wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo,Joseph Kabila.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .