NYUMBA INAUZWA KWA BEI POA KABISA

Posted in
No comments
Monday, August 18, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Nyumba inauzwa ipo maeneo ya Tandika Azimio. Ina vyumba vitatu vya kulala, bafu, choo, jiko, sebule. Ipo barabarani kabisa na hivyo kufaa kwa uwekezaji wa fremu za biashara za kupangisha au kuweka bar. Ina umeme na pia ina hati. Bei ni Tsh. milioni 35. Kwa wanunuzi wenye hitaji, piga simu 0715819246

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .