KINANA AKAGUA SHAMBA LA MIKOROSHO 19270 ILIYOHARIBIKA KATIKA KIJIJI CHA MAGAWA, MKURANGA NA KUWAAHIDI KUWASAIDIA WAKULIMA WA ZAO HILO KUPATA FIDIA

Posted in
No comments
Monday, September 15, 2014 By danielmjema.blogspot.com

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika  alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa masikini.
 Kinana akizungumza na wakulima wa zao hilo katika Kijiji cha Magawa, ambapo aliahidi suala lao hilo kulipepeleka kwa Waziri Mkuu, ili wapatiwe fidia na serikali kama walivyopatiwa wafugaji waliofiwa na mifugo yao katika baadhi ya ikoa nchni.
 Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Rufiji,na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid  mkoani Pwani, alipowasili katika wilaya hiyo kuanza ziarfa ua kuimarisha uhai wa chama.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Rufiji,na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid  mkoani Pwani, alipowasili katika wilaya hiyo kuanza ziarfa ua kuimarisha uhai wa chama.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .