MADABIDA AFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA WAZAZI WILAYA YA ILALA

Posted in
No comments
Sunday, September 28, 2014 By danielmjema.blogspot.com

  Mwenyekiti  wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam  Ramadhan Madabida akizungumza na viongozi wa chama hicho Wilaya ya Ilala kabla ya kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi wa Wilaya ya Ilala
 .Mwenyekiti  wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam  Ramadhan Madabida akivishwa skafu kabla ya kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
 Mwenyekiti  wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam  Ramadhan Madabida akiingia Ukumbini kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
  Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .