TANZIA: MAMA MZAZI WA IGP MSTAAFU, SAID MWEMA AMEFARIKI DUNIA

Posted in
No comments
Saturday, October 4, 2014 By danielmjema.blogspot.com


MKUU  wa Jeshi la Polisi mstaafu, IGP Said Mwema pamoja na ukoo wa Mwema na Nkya unasikitika kutangaza kifo cha mama/dada yao mpendwa Bi Sophia Rajab Nkya kilichotokea jana 3/10/2014 saa 2.45 usiku ktk hospitali ya KCMC Moshi.

Mazishi yatafanyika leo 4/10/2014 saa 10 alasiri ktk makaburi ya Moshi Mjini.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki waliopo ndani na nje ya nchi.Saidi Mwema. 

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .