TANZIA: MAMA MZAZI WA IGP MSTAAFU, SAID MWEMA AMEFARIKI DUNIA
Posted in
Kifo
No comments
Saturday, October 4, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu, IGP Said Mwema pamoja na ukoo wa Mwema na Nkya unasikitika kutangaza kifo cha
mama/dada yao mpendwa Bi Sophia Rajab Nkya kilichotokea jana 3/10/2014
saa 2.45 usiku ktk hospitali ya KCMC Moshi.
Mazishi yatafanyika leo
4/10/2014 saa 10 alasiri ktk makaburi ya Moshi Mjini.
Habari ziwafikie
ndugu, jamaa na marafiki waliopo ndani na nje ya nchi.Saidi Mwema.
Habari Zingine
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :