WAHITIMU SEKONDARI YA EDEN GARDEN EDUCATION TRUST WATAKIWA KUJIANDAA.
Posted in
Elimu
No comments
Tuesday, October 21, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Eden Garden Education Trust wakiingia kwa madoido uwanjani. |
Baadhi ya wazazi wenye watoto wao katika shule ya sekondari Eden Garden Education Trust wakifuatilia sherehe za kuaga wahitimu wa kidato cha nne. |
Wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Eden Garden Education Trust wakifurahia matukio yaliyokuwa yakiendelea katika sherehe yao ya kuagwa. |
Wanafunzi wa shule ya Msingi Eden Garden Education Trust waliofika kwa ajili ya kuwaaga wenzao wa shule ya sekondari. |
Wanafunzi katika shule ya sekondari Eden Garden Education Trust wakionesha umahiri wa kucheza muziki. |
Wanafunzi wa shule ya msingi Eden Garden Education Trust wakiimba wimbo wa kuwaaga ndugu zao wa kidato cha nne. |
Wanafunzi wakionesha umahiri katika kucheza Sarakasi. |
Mkuu wa shule ya sekondari Eden Garden Education Trust Thomas Muthiah akitoa hotuba yake wakati wa mahafali ya kidato cha nne kwa wahitimu . |
Mkuu wa Utawala katika shule za Eden Garden Education Trust ,Peter Nayor akizungumza wakati wa mahafali ya kuwaaga wahitimu wa kidato cha nne shuleni hapo. |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :