MBATIA ACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA BWENI,SEKONDARI YA PAKULA JIMBO LA VUNJO.
Posted in
Siasa
No comments
Tuesday, October 21, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Mbunge wa Kuteuliwa ,James Mbatia(NCCR-Mageuzi) akizungumza na viongozi wa shule ya sekondari Pakula iliyopo kilua Vunjo wilaya ya Moshi vijijini. |
Mbunge Mbatia akitoka katika Bweni la Shule ya sekondari Pakula baada ya kutembelea na kutizama hali halisi ya Bweni hilo ambalo Baba yake mzazi,Mwalimu Francis Wiliam Mbatia alishiriki kulijenga. |
Mkuu wa shule ya sekondari Pakula akitambulisha wageni wakati wa mahafali ya wanafunzi w kidato cha nne yaliyoenda sanjari na harambee ya ujenzi wa Bweni. |
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Pakula ambao wanataraji kufanya mitihani yao ya mwisho siku chache zijazo. |
Baadhi ya wageni kutoka Sweden wakifuatilia shereh hiyo ya mahafali. |
Wahitimu wakitoa burudani ya wimbo maalumu wa kuagana wakati wa mahali hayo. |
Wanafunzi wa kidato cha tatu wakitoa buruduni kwa kuonesha umahiri wa kucheza muziki . |
Makamu mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari Pakula,Paroko Julius Furaha akizungumza wakati wa mahafali hayo. |
Mkuu wa shule ya sekondari Pakula Lolenzo John akimkabidhi Mh,Mbatia zawadi ya Mbuzi dume wakati wa mahali ya wanafunzi wa kidadto cha nne katika shule hiyo. |
Mh,Mbatia akiwa amembeba mtoto aliyeenda moja kwa moja hadi meza kuu kwa lengo la kumsalimia, |
Mh Mbatia akitoa vyeti kwa wanafunzi wa kidato cha nne ambao wanatarajia kufanya mitihani yao hivi karibuni. |
Mh Mbatia akitoa hotuba wakati wa sherhe za mahali katika shule ya sekondari Pakula ,shereh iliyoenda sanjari na harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni. |
Badhi ya wageni waalikwa kutoka mkoani Arusha wakifuatilia hotuba ya Mh Mbatia. |
Mh Mbatia akiongoza Harambee ya ujenzi wa Bweni katika shule ya sekondari Pakula. |
Mh Mbatia akizungumza na wanafunzi wanao hitimu masomo yao katika shule ya sekondari Pakula huku akihamsisha wazazi wao kuchangia ujenzi wa Bweni katika shule hiyo. |
Watu mbalimbali wakichangia harambee hiyo. |
Baada a mchango huo kina mama walimbeba Mbatia huku wakishangilia . |
Hili ndilo Bweni linalitarajiwa kujengwa kwa ajili ya kulia chakula na kufanyia mitihani wakati wa mitihani. |
Habari Zingine
- RAILA AKIFANYA HAYA ATASHINDA URAIS, UCHAGUZI MKUU 2017.
- MCHAKATO WA KUMPATA MRITHI WA BAN KI-MOON WAANZA
- LOWASSA ACHANGIAWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU NA WANA CCM MKOA WA TABORA
- MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AKABIDHIWA MRADI WA UJENZI WA UKUMBI WA CHAKULA ULIOFADHILIWA NA TANAPA
- Katumbi ashitakiwa kwa kuajiri Mamluki
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :