MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA TASAF BAGAMOYO.

Posted in
No comments
Tuesday, November 4, 2014 By danielmjema.blogspot.com

    Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiwahutubia wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Buma wilayani Bagamoyo.
    Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga (aliyesimama) akitoa ufafanuzi wa masuala ya mpango wa kunusuru kaya masikini kwa walengwa (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters.


0Baadhi ya wanuafaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF katika kijiji cha Buma wilyani Bagamoyo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga.

    Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi akimkaribisha Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters alipotembelea miradi ya TASAF wilayani humo. Kushoto kwake Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga.
    Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiangalia kitambulisho cha afya ya jamii kutoka kwa mlengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Bumba wilaya ya Bagamoyo.
    Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga akifafanua jambo kwa Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters alipotembelea shamba la mananasi la mmoja wa walengwa wa PSSN Bakari Rajabu Bakari mwenye kofia nyeupe

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .