MBATIA ACHANGISHA FEDHA KUNUSURU ELIMU JIMBO LA VUNJO

Posted in
No comments
Tuesday, November 4, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Wanafunzi wanao fanya mitihani ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Bishop Moshi iliyoko Vunjo.

Wanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Bishop Moshi wakitoa burudani ya nyimbo wakati wa harambee ya kuchangia Bweni la wavulana
Mkuu wa shule ya sekondari Boshop Moshi,Sophia Mushi akisoma risala mbele ya mgeni ,Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia.
Mbunge wa kuteuliwa akizungumza wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni ;a wavulana katika shule ya sekondari Bishop Moshi.
Mbunge Mbatia akichangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule hiyo walichangia mifuko mitatu ya Sementi ambayo walikabidhi kwa mgeni rasmi Mbunge Mbatia.
Wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao wakipewa zawadi wakati wa hafla hiyo ya harambee ya kuchangia ujenzi wa Bweni.
Mbunge Mbatia akitangaza kiasi cha mchango wake katika ujenzi wa Bweni ambapo alitangaza kutoa kiasi cha shilingi milioni 10 ,pembeni yake ni mkuu wa shule hiyo Sophia Mushi akifurahi .
Wanafunzi wa kidato cha nne wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi,Mbunge Mbatia.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .