HAFLA FUPI YA BIRTHDAY YA SHARIFA MMASI, MWANDISHI WA MICHEZO WA BINGWA ILIVYOFANA (JANUARY 1 2015)

Posted in
No comments
Friday, January 2, 2015 By danielmjema.blogspot.com

Sharifa Mmasi (kulia) akimlisha Keki, mmiliki wa mtandao wa Kijiwe Chetu Blog, Fadhili Athumani (kushoto) "Prof. FAdhili" katika hafla fupi ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa, iliyofanyika katika ofisi za New Habari, mkoani Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro (inayochapisha magazeti ya Bingwa, Dimba, Mtanzania, Rai na The African)
Fadhili Athumani (kushoto) akimlisha Keki, Sharifa Mmasi
Happy Birth Day!!
Sharifa Mmasi (Bingwa) akimlisha keki Winnie 
Kutoka kushoto Deo Macha (ITV), Winnie Queen (Daily News), Sharifa Mmasi (Bingwa) na Fadhili Athumani (Mtanzania) katika hafla fupi ya kumpongeza Sharifa katika siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika Januari 01, mwaka 2015 mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro
Mwandishi wa gazeti la Bingwa, Sharifa Mmasi (Kushoto)  akimlisha Keki, Rodrick Mushi anayeandikia gazeti la Mtanzania (magazeti yote yanachapishwa na kampuni ya New Habari (2006) Ltd)

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .