MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI
Posted in
Afya
,
Ulimbwende
No comments
Sunday, January 4, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Miss Singida 2014 Dorice Mollel akimkabidhi Kaimu Mganga Mfawidhi Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Singida, Dk.Daniel Tarimo, msaada wa vifaa mbali mbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 1.2 milioni kwa wodi ya watoto njiti. |
Kaimu Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Singida, Dk.Daniel Tarimo, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya tiba vilivyotolewa msaada na Miss Singida 2014 Dorice Mollel kwenye wodi ya watoto njiti hospitali ya mkoa wa Singida. |
Miss Singida 2014 Doris Moleli,akimwangalia mtoto mchanga aliyelazwa kwenye wodi ya uzazi kawaida iliyopo kwenye hospitali ya mkoa mjini Singida. |
Habari Zingine
- Tanzania kinara unyanyasaji kwa watu wenye Ualbino
- Je Wajua Samaki Wabichi ni Dawa?
- MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI
- Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London
- DORIS MOLLEL ACHANGIA VITABU SHULE YA MSINGI MPUNGUZI, DODOMA KWA USHIRIKIANO NA MAK SOLUTIONS LTD
- KABAAANG!!! MISS TANZANIA SITTI MTEMVU ALIVUNJA MASHARTI YA.....!
- SITTI MTEMVU AKUBALI KUACHIA TAJI LA MISS TANZANIA
- Fahamu nchi zinaongoza kwa matumizi ya Bangi
- Kuwa na mpenzi na afya nzuri huchangia furaha
- Mji wa Dodoma, nchini Tanzania yakumbwa na ugonjwa usiojulikana
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :