JUSSA KULONGA NA WANA DIASPORA, IN WASHINGTON D.C. LEO
Posted in
Kimataifa
No comments
Saturday, February 28, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Mhe. Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha wanainchi CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo Washington, D.C. (DMV) kuongea na waTanzania Jumamosi February 28, 2015 kuanzia saa 10 jioni hadi mbili usiku (4pm-8pm). Zingatia muda.
Agenda;
Mchakato wote wa Katiba mpya.
Ufafanuzi juu ya muundo wa serikali tatu
Uamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu
Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pacha
Maswali na majibu bila kikomo
Ufafanuzi juu ya muundo wa serikali tatu
Uamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu
Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pacha
Maswali na majibu bila kikomo
Address: TABEER HALL
1401 UNIVERSITY BLVD, HYATTSVILLE, MD
1401 UNIVERSITY BLVD, HYATTSVILLE, MD
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :