Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama ndani ya Chadema

Posted in
No comments
Tuesday, March 10, 2015 By danielmjema.blogspot.com


Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe ambae awali alifungua kesi kwaajili ya kuzuia kuvuliwa uanachama wake huku mapema leo Mahakama ikitoa hukumu kwa Zitto Kushindwa kesi hiyo

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .