MBUNGE WA VITI MAALUMU MKOA WA TANGA (CUF) AMINA MWIDAU ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA PANGANI (JANA).

No comments
Saturday, May 23, 2015 By danielmjema.blogspot.com

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili kushoto akimuelekeza jambo Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau ambaye alitembelea hospitali hiyo jana kuwafariji wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hiyo na kugawana zawadi ambazo ni sabuni,Poda,sukari ikiwemo mahitaji muhimu pamoja na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga mbunge huyo kwa gharama za milioni 5,Picha na Mpiga picha wetu,Pangani.

Mbunge wa  Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau akisalimiana na wakina mama wakati alipotembelea hospitali ya wilaya ya Pangani jana kuwaona wagonjwa kuwafariji na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari pamoja na  mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo,Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani.

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau akizungumza na wakina mama waliokuwa wakisubiri huduma za matibabu kwenye hospitali ya wilaya ya Pangani jana wakati alipotembelea hospitali ya wilaya ya Pangani jana kuwaona wagonjwa kuwafariji na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari pamoja na  mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo,Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani.

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau akizungumza na wakina mama waliokuwa wakisubiri huduma za matibabu kwenye hospitali ya wilaya ya Pangani jana wakati alipotembelea hospitali ya wilaya ya Pangani jana kuwaona wagonjwa kuwafariji na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari pamoja na  mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo,Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani.

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau kulia kushoto kwake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wlaya ya Pangani,Mugiri Emili wakielekea wodini kwa ajili ya kuwatazama wagonjwa ,kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari pamoja na  mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo,Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani.

Katikati ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau akitoa maelekezo namna ya ugawaji wa zawadi kwa wagonjwa wakati alipotembelea hospitali ya wilaya ya Pangani jana kwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,,sukari,poda na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa ambalo limejengwa na mbunge huyo kwa gharama za sh.milioni tano kushoto kwake ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani,Dennis Ngaromba Picha na Mpiga Picha Wetu,Pangani.

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CUF) Amina Mwidau akimsalima mtoto mchanga kwenye hospitali ya wilaya ya Pangani wakati alipokuwa akiwatembelea wagonjwa kuwajulia hali kuwapa zawadi na kukabidhi jengo la kupumzikia hospitalini hapo lilolojengwa na mbunge huyo kwa gharama za shilingi milioni tano,Picha na Mpiga Picha Wetu, Pangani.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .