UGANDA: OFISI ZA MAWAKILI WA MBAMBAZI ZAVAMIWA

No comments
Wednesday, March 9, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Ofisi mbili za mawakili wanaomuakilisha aliyekuwa waziri mkuu wa Uganda, Amama Mbabazi katika kesi yake kupinga ushindi wa rais Yoweri Museveni katika uchaguzi uliomalizika zimevamiwa na watu wasiojulikana jana usiku.

Mohamed Mbabazi, wakili anayeongoza mawakili wengine katika kesi hiyo ya Mbabazi, amesema vipakatilishi, tarakilishi na nyaraka zilichukuliwa kutoka ofisi yake.

Afisa mmoja wa ulinzi alipigwa na watu walioivamia ofisi hiyo. Ofisi nyengine iliyoingiliwa ni ya wakili Fred Muwema. Polisi Uganda wanasema wanafanya uchunguzi.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .