Mabaki ya kiumbe “Naledi”yagunduliwa nchini Afrika Kusini.
Posted in
Kimataifa
No comments
Friday, May 27, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Wanasayansi nchini Afrika Kusini kwa ushirikiano na Chuo kikuu cha Wits University (University of Witwatersrand) na Taasisi ya utafiti wa anga na viumbe hai (The National Geographic Society) wamebaini mabaki ya mifupa ya kiumbe kinachofanana kwa kiasi kikubwa na binadamu, ambayo yalifukiwa chini ya ardhi zaidi ya miaka milioni iliyopita.
Ukubwa ya ubongo wa kiumbe hicho unashabihiana kabisa na wa binadamu, huku hatua za miguu yake zikionekana kuwa kubwa kidogo kuliko za binadamu.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :