Mabaki ya kiumbe “Naledi”yagunduliwa nchini Afrika Kusini.

Posted in
No comments
Friday, May 27, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Wanasayansi nchini Afrika Kusini kwa ushirikiano na Chuo kikuu cha Wits University (University of Witwatersrand) na Taasisi ya utafiti wa anga na viumbe hai (The National Geographic Society) wamebaini mabaki ya mifupa ya kiumbe kinachofanana kwa kiasi kikubwa na binadamu, ambayo yalifukiwa chini ya ardhi zaidi ya miaka milioni iliyopita.
Naledi 00003 SA.Mabaki ya kumbe hicho kilichopewa jina la NALEDI, yamepatikana karibu na Mji wa Johannesburg ambapo Kiumbe hicho kina mikono na miguu kama ya binadamu, ingawa maungo yake ni makubwa.
NALEDI 002
Ukubwa ya ubongo wa kiumbe hicho unashabihiana kabisa na wa binadamu, huku hatua za miguu yake zikionekana kuwa kubwa kidogo kuliko za binadamu.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .