Mourinho amesema haya kuhusu Ushindani kati yake na Pep Gurdiola
Posted in
Michezo
No comments
Tuesday, May 31, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Upinzani wa makocha ulianzia Hispania ila unatarajiwa kurudi Uingereza baada ya wote kujiunga na vilabu vyenye upinzani mkubwa na vinatokea jiji moja la Manchester, Jose Mourinho leo May 31 2016 alifunguka na kueleza mambo kadhaa kuhusu upinzani wao na Gurdiola utaendelea?
“Kilichotokea miaka miwili iliyopita hakinifanyi mimi kuwa na hatia, miaka miwili mimi na Pep tuliakuwa katika Ligi moja Ubingwa ilikuwa achukue yeye au mimi, kwa hali kama hiyo upinzani wangu binafsi na yeye lazima uendelee kwa sababu utakuwa na maana fulani katika Ligi Kuu Uingereza”
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :