Mourinho amesema haya kuhusu Ushindani kati yake na Pep Gurdiola

Posted in
No comments
Tuesday, May 31, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2016/2017 unatarajiwa utakuwa moja kati ya msimu unaovutia zaidi Uingereza, hiyo inatokana na Jose Mourinho kujiunga na Man United lakini pia Pep Guardiola kujiunga na Man City, upinzani wa makocha hawa ulianzia nchini Hispania katika ligi ya La Liga, ambapo wakati Pep akiwa FC Barcelona na Jose alikuwa Real Madrid.
Upinzani wa makocha ulianzia Hispania ila unatarajiwa kurudi Uingereza baada ya wote kujiunga na vilabu vyenye upinzani mkubwa na vinatokea jiji moja la ManchesterJose Mourinho leo May 31 2016 alifunguka na kueleza mambo kadhaa kuhusu upinzani wao na Gurdiola utaendelea?
“Kilichotokea miaka miwili iliyopita hakinifanyi mimi kuwa na hatia, miaka miwili mimi na Pep tuliakuwa katika Ligi moja Ubingwa ilikuwa achukue yeye au mimi, kwa hali kama hiyo upinzani wangu binafsi na yeye lazima uendelee kwa sababu utakuwa na maana fulani katika Ligi Kuu Uingereza”

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .