UN yaishauri Kenya kutokufunga Kambi ya wakimbizi
Posted in
afrika mashariki
No comments
Tuesday, May 10, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Wengi wao ni raia wa Somalia na Sudan Kusini.'Tumelipokea na wasiwasi mkubwa tangazo hilo'',lilisema shirika hilo katika taarifa yake.Iliongezea:
La kushangaza ni kwamba hali ilivyo Somalia na Sudan Kusini inayowafanya raia kutoroka haijatatuliwa.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :