Mambo 9 ya Ray C baada ya kuchukuliwa na Polisi

Posted in
No comments
Monday, June 20, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Usiku wa June 16 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa Bongofleva Ray Cilisambaa mitandaoni na kila mmoja kuzungumza habari tofauti kuhusu clip video hiyo, wapo waliosema Ray C kapata kichaa na mambo mengine mengi tu, nakusogezea mambo 9 ya kufahamu kuhusu Ray C baada ya kusambaa kwa video clip na yeye kuchuliwa na Polisi.
1- Polisi wamesema hawakumkamata Ray C bali walimpeleka hospitali kupatiwa matibabu
2- Ray C amepimwa hospitali wala hana kichaa ni mzima ana akili timamu.
3- Mkurugenzi wa uzalishaji na utafiti Clouds Media Ruge Mutahaba amethibitisha kuwa June 17 Ray amepelekwa Rehab Bagamoyo.
4- Rehab aliyopelekwa Ray C ni Bagamoyo mkoa wa Pwani, Rehab ambayo aliwahi kuishi Chid Benz wiki tano zilizopita.

Mengine zaidi ingia...

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .