Mayweather atumia $37m kununua ndege binafsi ya pili
Posted in
Burudani
No comments
Friday, June 17, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Aliyekuwa bingwa wa ngumi kwa uzito wa kati Floyd Myweather amenunua ndege binafsi nyingine iliyomgharimu zaidi ya dola milioni 37.
Mtu wa karibu wa Mayweather ameiambia TMZ, “It’s a 12 passenger Gulfstream III with gold cup holders, gold sink, gold accents throughout. It has all white leather seats and a fully stocked kitchen. He now has two jets.
“Air Mayweather 1 and 2,” aliongeza.
Mayweather amekuwa akitumia fedha nyingi kununua vitu vya gharama tangu alipotangaza kustaafu ngumi mwaka jana.
Habari Zingine
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :