Mbunge wa chama cha Leba Uingereza auawa

Posted in
No comments
Friday, June 17, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Mbunge wa chama cha Leba nchini Ungereza Jo Cox amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mara tatu na kuchomwa kisu akiwa katika eneo la bunge kaskazini mwa uingereza.
Cox ndiye mbunge wa kwanza kuuawa nchini Uingereza tangu Ian Gow auawe mwaka 1990, Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 52 aliyetajwa na majirani kama mtu asiye na marafiki amekamatwa na silaha kupatikana.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .