Mbunge wa chama cha Leba Uingereza auawa
Posted in
Tanzia
No comments
Friday, June 17, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Mbunge wa chama cha Leba nchini Ungereza Jo Cox amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mara tatu na kuchomwa kisu akiwa katika eneo la bunge kaskazini mwa uingereza.
Cox ndiye mbunge wa kwanza kuuawa nchini Uingereza tangu Ian Gow auawe mwaka 1990, Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 52 aliyetajwa na majirani kama mtu asiye na marafiki amekamatwa na silaha kupatikana.
Habari Zingine
- Mbunge wa chama cha Leba Uingereza auawa
- Hivi ndivyo Mohammad Ali alivyopumzishwa, watu 14,000 walihudhuria
- Matukio katika Picha: Ziara ya Marehemu Mohammad Ali alipotembelea Afrika
- Obama kutohudhuria mazishi ya Mohammad Ali, Yatafanyika Ijumaa hii
- Kocha wa zamani wa Nigeria, Stephen Keshi amefariki Dunia
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :