YALIYOJIRI: Maxence Melo aachiwa kwa dhamana
Posted in
afrika mashariki
No comments
Monday, December 19, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Hatimaye Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, Dar es salaam, imemuachia kwa dhamana Mwanzilishi wa mtandao wa JamiiFORUMS Maxence Melo leo.
Maxence Melo, ambaye ni Mkurugenzi wa Jamii Media.Co Ltd, alikamatwa juma lililopita akikabiliwa na mashitaka matatu ambayo yalitajwa mbele ya Mahakimu watatu, mnamo Desemba 16, mwaka huu kuwa ni:
1. Kumiliki tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania.
2. Kuzuia uchunguzi wa Jeshi la Polisi.
3. kushindwa kutoa data alizonazo kuhusu watumiaji wa mtandao huo.
Habari Zingine
- UHURU WA HABARI SIO KUIANGALIA TU SERIKALI - MWAKYEMBE
- JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA LATANGAZA KUSUSIA KUANDIKA HABARI ZA MKUU WA MKOA WA DAR
- WENGI WALIVYOJITOKEZA KUMUAGA MWANA TBN JENNIFER LIVIGHA (CHINGA ONE) HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR
- Wachimbaji mgodi 15 waliokwama ardhini waokolewa nchini Tanzania
- Al-Shabab washambulia kambi ya majeshi ya Kenya nchini Somalia
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :