Mwandishi Francis Godwin Atoweka Iringa Akihofia Maisha Yake
Posted in
No comments
Thursday, September 6, 2012
By
danielmjema.blogspot.com
Mwandishi Francis Godwin akiwa na marehemu Daudi Mwangosi (katikati) Enzi za uhai wake. Ametoa taarifa fupi kabisa katika blog yake.Haifahamiki na labda ni kwa sababu za kiusalama amekwenda wapi na hakusema ni kwa vipi maisha yake yako shakani.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako


0 MAOINI :