BREAKING NEWS: KILIMANJARO EXPRESS LAPATA AJALI TANGA NA KUJERUHI WAWILI

Posted in
No comments
Monday, March 11, 2013 By danielmjema.blogspot.com

Basi la Kilimanjaro Express namba za usajili, T860 BVA, linalofanya safari zake katika Barabara ya Tanga-Moshi, limepata ajali na kujeruhi wawili akiwemo konda wa Gari hilo.

TAIFA LETU.com lilitinga katika ofisi za Kilimanjaro Bus mjini Moshi kupata Maelezo kwa Meneja wa Mabasi hayto lakini akasema yeye sio msemaji.
 inadaiwa chanzo cha ajali ni mwendo kasi.

Habari kamili zitafuta hivi punde.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .