JOSE MOURINHO ANASWA AKIFAKAMIA DONATI UWANJA WA NDEGE

Posted in
No comments
Thursday, June 13, 2013 By danielmjema.blogspot.com


Kocha Jose Mourinho ameonekana akifakamia donati wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Heathrow jijini London.

Haikujulikana mara moja kama Mourinho alikuwa na njaa sana au namna gani lakini ulaji wake uliwashangaza wengi naye hakuonekana kujali.

Mourinho alikuwa njiani kurejea Lisbon, Ureno ikiwa ni siku chache baada ya kutambulishwa katika klabu yake mpya ya Chelsea.


Kocha Jose Mourinho ameonekana akifakamia donati wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Heathrow jijini London.

Haikujulikana mara moja kama Mourinho alikuwa na njaa sana au namna gani lakini ulaji wake uliwashangaza wengi naye hakuonekana kujali.
Mourinho alikuwa njiani kurejea Lisbon, Ureno ikiwa ni siku chache baada ya kutambulishwa katika klabu yake mpya ya Chelsea.


Tayari Mourinho ameelezwa kuanza kulishughulikia suala la taarifa za Fernando Torres kuataka kuhamia Barcelona.

Inaelezwa Torres amekuwa akionekana hana furaha kutokana na kutokuwa na msimu mzuri, lakini Mourinho anamhitaji na anaamini atafanya vizuri akiwa chini yake.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .