RYAN GIGGS Kocha MCHEZAJI OLD TRAFFORD

Posted in
No comments
Friday, July 5, 2013 By danielmjema.blogspot.com

Ryan Giggs na Phil Neville
Manchester United imewatangaza Ryan Giggs kama kocha mchezaji na Phil Neville kuwa katika jopo la makocha.

Giggs,atatimiza umri wa miaka 40 mwezi Novemba na mchezaji mwengine wa zamani Neville mwenye umri wa miaka 36,amekuwa wa mwisho kutangazwa na meneja mpya David Moyes katika jopo la makocha wa Manchester United.
Ryan Giggs na Phil Neville
 
"Nimefurahishwa sana na kwamba Ryan amekubali bahati ya kuwa mchezaji kocha"amesema Moyes.

Neville,amechukuwa nafasi iliyoachwa Rene Meulensteen,ambaye alijiunga na Guus Hiddink meneja wa sasa wa club ya Anzhi Makhachkala ya Urusi.
Ryan Giggs na Phil Neville
Ryan Giggs na Phil Neville

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .