MWANDISHI WA HABARI LEO KILIMANJARO, ARONLD SWAI, aMWENYEKITI MPYA UVCCM WILAYA YA HAI
Posted in
No comments
Monday, January 27, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
| Arnold Swai (wa kwanza kushoto)wakati wa upigaji kura, zoezi lilofanyika juzi, wilayani Hai kuziba pengo la nafasi ya Mwenyekiti |
| Mjumbe wa Halmshauri kuu CCM wilaya ya Hai, Fuya Kimbita, akizungumza katika zoezi la kupiga kura lililoshuhudia Mwandishi wa Habari Leo, Arnold Swai akiibuka kidedea. |
| Arnold Swai akihutubia baada ya kutangazwa Mwenyekiti Mpya kwa kushinda uchaguzi uliofanyika juzi. Swai alipata kura 151 kati ya kura 222 zilizopigwa |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako

0 MAOINI :