SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO

No comments
Monday, April 7, 2014 By danielmjema.blogspot.com

 Majaji wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini kutazama kipaji kilichokuwa kikionyeshwa na mmoja wa washiriki (hayupo pichani) wakati alipofika kuonyesha kipaji chake, Kushoto ni Jaji Mkuu Roy Sarungi, akifuatiwa na Ivon Chery (Monalisa) na Single Mtambalike (Rich Rich)
 
Baadhi ya washiriki wakielekezwa cha kufanya mara baada ya kupita kwa majaji
 Mmoja wa washiriki waliofika kwaajili ya kuonyesha vipaji akiwa mbele ya meza ya majaji akionyesha uwezo wake wa Kuigiza wakati wa mashindano ya Kuonyesha Kipaji cha kuigiza
 Mmoja wa kijana mwenye umri mdogo kabisa akivalishwa namba kwaajili ya kushiriki kwenye shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambapo kwa siku ya leo limefunga sehemu ya usaili
 Baadhi ya vijana waliofika leo kwaajili ya kushiriki katika shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania
 Kipaji.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .